Tarehe ya Kuwekwa: June 19th, 2019
Asilimia 71 ya wakazi wa Songea wanatumia vyoo bora
JUMLA ya kaya 30,476 kati ya kaya 32,102 sawa na asilimia 71 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wanatumia vyoo bora.
M...
Tarehe ya Kuwekwa: June 14th, 2019
CHUO cha Mafunzo ya Uhifadhi wa Maliasili kwa Jamii (CBCTC) kilichopo katika Kijiji cha Likuyu Sekamaganga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma kimefanya mahafali ya mafunzo kwa Askari wanyamapori wa...
Tarehe ya Kuwekwa: June 14th, 2019
MRADI wa maji katika Kata ya Muhukuru Lilahi Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma umekamilika na umeanza kutoa huduma kwa wananchi
Diwani wa Kata ya Muhukuru- Lilahi Simoni Kaping...