• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI WAJENGEWA UWEZO SONGEA Dc

Tarehe ya Kuwekwa: January 8th, 2025

Wawezeshaji kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, jana 08/01/2024 wamefika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ili kuwajengea uwezo Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji.


Dr.Elisei Lubuva, moja ya Wadhiri kutoka. Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo amesema “ lengo la kuwajengea uwezo wenyeviti hao ni kuhakikisha wanatambua kanuni na sheria za kazi zao na maelekezo kuhusu muundo wao wa majukumu ili kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa weredi


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea pamoja na Mkurugenz Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea iwameongoza mafunzo kwa Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo.

mafunzo hayo yaliohudhuliwa na Wenyeviti kutoka vijiji 56 vilivyopo Halmashauri ya Songea pamoja na vitongiji 450, yalifanyika katika ukumbi wa Maposeni na Mpitimbi.

 Akizungumza katika Mafunzo hayo Mhe. Menans Komba ambaye ndiye Mwenyekiti wa Halmashauri alisema “ Ili uwe kiongozi bora, lazima ujue majukum yako, na mipaka yako. Na sisi kwa kuzingatia hilo, tunafanya mafunzo haya ili kuhakikisha mnapata uelewa ili mkafanye majukumu yenu kwa kufuata taratibu na miongozo”

Mhe. Komba amesisitiza katika usimamizi wa Rasilimali na utatuzi wa migogoro.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halnashauri Bi. Elizabeth Gumbo amewataka viongozi hao kuwa makini katika ukusanyaji wa Mapato.

Vijiji vinamapato, na baadhi ya viongozi wamekua wakitumia Fedha hizo bila kufata utaratibu,

Niwaombe sana mafunzo haya yakawasaidie kupata uelewa na yawe chachu ya maendeleo katika maeneo mnayosimamia”


Aidha Viongozi hao walishukuru kwa mafunzo hayo kwani yatawasaidia sana katika kutimiza majukumu yao

“ Nishukuru sana Utawala wa Awamu ya Sita kwa kuona tunapaswa kupata mafunzo haya ili kuweza kumsaidia Dkt. Samia Suluhu Hassan, niwapongeze uongozi wa Halmashauri kwa kusimamia jambo hili niahidi sisi kama viongozi tutafanyia kazi yale yote tuliyofundishwa.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa