• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ATAKUWEPO SONGEA KUSHUHUDIA MCHAKATO MZIMA WA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI

Tarehe ya Kuwekwa: March 18th, 2024


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaj wa Mahakama ya Rufaa Mhe. Jacob Mwambegele amefika Halmashauri ya Wilaya ya Songea leo tarehe 18/03/2024, kwa lengo la kuangalia namna maandalizi ya uchaguzi yanavyoenda.

 Lengo la ujio wake ni kushuhudia maandalizi ya uchaguzi, na pia atakuwepo mpaka siku ya uchaguzi kujionea kila kitu kuanzia ufunguaji wa vituo, upigaji Kura na pia atashuhudia wakat wakihesabu kura katika vituo vyote vilivyopo kata ya Mbingamhalule siku ya tarehe 20/03/2024.
 

Akiwa Halmashauri alipokelewa na Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Peramiho Ndg. Khashim Lugome, na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwl. Bumi Kasege, ambapo pamoja na mambo mengine alisema

 “ Nimekuja kushuhudia maendeleo na maandalizi ya uchaguzi mdogo utakaofanyika tarehe 20/03/2024. Wote mnatambua kuwa kata ishirini na mbili zilizoko mikoa mbalilmbali nchini Tanzania zinategemea kuwa na uchaguzi siku hiyo. Hivyo mimi nimeamua kuja Songea kushuhudia maandalizi yanavyoenda, ambapo kwanza ntaangalia mafunzo yanayofanya na Wasimamiz wa vituo, pia ntatembelea vituo vyote vya kupigia kura na ntakuwepo mpaka siku ya uchaguzi ili kushuhudia kuanzia vituo vinavyofunguliwa mpaka wakati wa kuhesabu kura”

 Naye Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Peramiho Ndg. Khashim Lugome, alimuhakikishia kuwa kila kitu kipo sawa kwanzia mafunzo vifaa vya kupigia kura pamoja na wafanyakazi watakaosimamia zoezi hilo. Lakini pia ulimuhakikishia uwepo wa usalama katika sehemu ya kupigia kura lakini pia kwa wagombea.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa