• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Mwenge wa wa uhuru waridhia kufungua, kuzindua ,kukagua na kuweka jiwe la msingi miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 762

Tarehe ya Kuwekwa: September 26th, 2019

Mwenge wa uhuru Kitaifa wapongeaza utekelezaji wa ujenzi wa miradi ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Mzee Mkongea Ali amepongeza utekelezaji wa ujenzi wa miradi iliyopitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2019.

Mzee Mkongea Ali 

amesema hayo wakati akikagua ,kuweka jiwe la msingi na kuzinduaa miradi mbalimba katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma.

Mzee Mkongea amesema miradi yote Ililiyojengwa na inayojengwa niwajibu wa kila mwananchi kuitunza na kuilinda kwa manufaa yetu na kizazi kijacho pia inajengwa kwa viwango vinavyotakiwa na kuzingatia miongozo inayotolewa na  serikali.

“Uadilifu na uchapakazi ndio njia ya  mafanikio yaTaifa letu, tufanye kazi kwa ajili ya kulijenga Taifa letu”.Amesema Mzee Mkongea Ali.

 Mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa umekagua miradi  ya shamba la kahawa linalomilikiwa na kikosi cha Jeshi la  kujenga Taifa cha 842 JK, kisima cha mkono cha kupampu na mradi wa vishikwambi katika shule ya msingi Mapinduzi, umezindua mradi wa  kisima cha asili kilicho boreshwa na kupanda  miti rafiki ya maji, umefungua vyumba viwili vya madarasa na ofisi ya mwalimu Mkuu katika shule ya msingi Lundusi na nyumba mbili za waganga katika Kijij i cha Parangu, mradi mwingine  uliopitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ni ofisi za mthibiti ubora kwa shule za msingi ambapo uliweka  jiwe la msingi.

Mwenge wa uhuru Kitaifa umekagua kuzindua , kufungua na kuweka jiwe la msingi jumla ya miradi saba yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 762 na umekimbizwa kilomita 130.3   

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa