• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

CMT YA HALMASHAURI YA SONGEA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Tarehe ya Kuwekwa: April 8th, 2024



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Bi. Elizabeth Gumbo akiambatana timu ya Menejimenti ya Halmashaui ya Wilaya ya Songea, wamekua na ziara ya Siku mbili kuanzia tarehe 5-6/04/2024, ya kutembelea na kukagua miradi inayosimamiwa na Halmashauri na kutoa maelekezo na maagizo kwa mafundi na kamati ya ujenzi.

Katika ziara hiyo timu ya menegiment ilikagua Miradi ya Afya ambayo ni zahanati vituo vya Afya, Elimu walikagua Shule za Msingi na Sekondari. Miongoni mwa shule ni pamoja na Shule ya Msingi Nambalapi, Mbolongo Shule ya Sekondari Jenista Mhagama, Shule ya Sekondari ya Mpitimbi na Soko la Mazao la Kimkakati lililopo kijiji cha Matomondo kata ya Mbinga Mhalule. Walikagua pia mradi wa samaki (mabwawa ya Samaki) yaliyopo Mpitimbi

Mkurugenzi alisisitiza umakini kwenye ujenzi wa mali za umma lakini pia aliwataka wasimamizi na mafundi kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia muda waliopewa ili kuhakikisha pesa walizotengewa zinatumiaka kwa wakati na lengo la Serikali linatimia.

Aidha aliwataka pia wakuu wa Divisheni na vitengo kuhakikisha wanakuwa na utaratibu wa kuzungukia miradi, ili kubaini changamioto ndogo ndogo ambazo zimekua zikiibuliwa pindi wageni wanapokuja. “Niwashukuru sana timu yangu ya Menejiment kwa ziara hii, nitoe wito kwenu wote kwamba zoezi hili lisiishie hapa, tuwe na utaratibu wa kukagua miradi pindi inapokua inajengwa hii itasaidia kubaini makosa ambayo yamekua yakioneshwa pindi wageni wanapokuja kupitia na kukagua moiradi.

Kwa upande wa wananchi wamepongea na kushukuru sana Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na  Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa namna ambapo imekua ikiwekeza sana nguvu kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kuwajengea miundombinu ya kutosha kama vile Barabara madaraja  shule Zahanati ambapo vyote hivi vinapelekea unafuu wa maisha kwa wananchi

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa